Mtasubiri
Diamond Plantnumz
eeh! nini sasa
eti amina, dua zimeitikiwa
ashtuti nije kupa mali yako
ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
mahututi nasubiri tiba yako
na nisipo kuona na raha nakosa
situlii mpaka unikumbate darling
ooh kiranga chote mi koma, ukianza dear
shughuri kwisha yangu habari
eti unanipenda mi
unanitaka pia
unaniamini
na umeniridhia
ooh unanipenda mimi
unanitaka pia
unaniamini
na umeniridhia
mnaosubiri tuachane
mtasubiri sana mtasubi
(ooh mtangoja)
mtasubiri sana mtasubi
(wanaosubiri tuachane)
mtasubiri sana mtasubi
(vuteni kiti mkae)
mtasubiri sana mtasubi
ooh baby mi mwenzako njiwa wa kufugwa
ooh baby vya chakuchaku vitanifuja
ooh baby mie wa pwani mzawa wa unguja
ooh baby penzi laini sitoi buja
na moyo nimeshaweka kwako nanga
wanajisumbua kukesha kwa waganga
mbona bado na presha zitawashuka na kupanda
tena deka we shaukwa baby tamba
eti unanipenda mi
unanitaka pia
unaniamini
nakuniridhia
ooh unanipenda mimi
unanitaka pia
unaniamini
na umeniridhia
manaosubiri tuachane
mtasubiri sana mtasubi
(ooh mtakesha)
mtasubiri sana mtasubi
(mtandike jamvi mukae)
mtasubiri sana mtasubi
(mtatungoja sana)
mtasubiri sana mtasubi
wanasema eti umeniroga
nikweli ila inawahusu nini
hunipendi unanichuna
nikweli ila inawahusu nini
eti anasema wewe ni kicheche
nikweli ila inawahusu nini
utanichezea kesho uniache
nikweli ila inawahusu nini
Comentários
Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra
Faça parte dessa comunidade
Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de Diamond Plantnumz e vá além da letra da música.
Conheça o Letras AcademyConfira nosso guia de uso para deixar comentários.
Enviar para a central de dúvidas?
Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.
Fixe este conteúdo com a aula: